Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina O. Kombani (Mb) akiongea ofisini kwake katika hafla fupi ya kuipongeza timu ya mpira wa Pete ya Utumishi mapema leo.
Mwenyekiti wa Klabu ya michezo ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.Lumuli Mtaki akisoma ripoti kuhusu klabu yake ya Utumishi wakati wa hafla fupi ya ya kuipongeza timu ya mpira wa Pete ya Utumishi iliyofanyika ofisini hapo mapema leo.
Watumishi na Viongozi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma wakimsikiliza Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,Utumishi Mh.Celina O. Kombani (Mb) wakati wa hafla fupi ya kuipongeza timu ya mpira wa Pete ya Utumishi iliyofanyika ofisini hapo mapema leo.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina O. Kombani (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Timu ya Mpira wa Pete ya Utumishi mara baada ya hafla fupi ya ya kuipongeza timu hiyo iliyofanyika ofisini kwake mapema leo.Wengine mstari mbele ni Kapteni wa timu hiyo Bi.Elizabeth Fussi (mwenye kikombe), Naibu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu , na kushoto kabisa ni Mwalimu wa timu Bw Mathew Kambona na Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi (kushoto kwake).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...