Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Bw.Rene Meza akisalimiana na baadhi ya wateja waliofika kupata huduma mbalimbali Vodashop Mlimani City na kupata frusa ya kujumwika na Mkurugenzi huyo katika kusherehekea na kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja nchini.
Afisa Mkuu wa kitengo cha huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania,Bi.Herieth Lwakatare(katikati)akipozi kwa picha na wafanyakazi wenzake.
Mkuu wa Idara ya huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania,Brigita Stephen akiwafafanulia jambo baadhi ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya waliotembelea makao makuu katika kusherehekea na kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...