Mdau Jamaly Hashim wa Televisheni ya Taifa (TBC) akiwa ni miongoni mwa Waislam wanaohudhulia ibada ya Hijja huko Makka,nchini Saudi Arabia,katika kutekeleza nguzo ya Tano ya imani ya Dini ya Kiislam.
Wadau mbali mbali wakiwa lwenye Uwanja wa Muzdalifa,Makka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Muumba awalipe kwa kutekeleza nguzo moja wapo ya kiislamu

    ReplyDelete
  2. Nomba kueleweshwa wadau. Mbona watu wanalala chini?

    ReplyDelete
  3. Kulala chini jangwani MuZdalifa ni moja ya masharti ya Hijja.

    Binadam aliumbwa kwa udongo utafufuliwa kutoka udongonMbele ya Allah ubora wa mtu ni kiwango cha Ucha Mungu


    ReplyDelete
  4. Kichwa cha habari kimekosewa si kukaa bali ni Kulala Muzdalifa.. Kulala chini ni sehemu ya Ibadah yenyewe sio kwamba imeshindikana kuweka vitanda bali ibadah yenyewe inataka watu walale chini.Kuna mafunzo mengi sana katika Ibadh nzima ya Hijjah na mojawapo ni hili la kulala chini ili hata milionea waone adha yakulalia mkeka na kupata mazingatio katika hilo.Hamna clasess katika Uislam si tajiri si maskini wote nguo sawa na wote mnalala sawa kama mdau ulivyoomba ufafanuzi.

    ReplyDelete
  5. Mdau wa nne umeongea maneno muafaka kabisa ufafanuzi uliotowa ndio wenyewe na ndo inavyotakiwa Mungu atujalie kila lakheri

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...