Baadhi ya wafanyakazi wa mfuko wa PSPF wakiwa kwenye Picha ya pamoja na Balozi GRACE MUJUMA (katikati) na maafisa wa Ubalozi justa Nyange mwenye sketi nyekundu!bw Jeswald Majuva mwenye tai nyekundu na bw Mogosi Munata wakati PSPF walipotembelea Ubalozi wa Tanzania Lusaka Zambia wakiwa kwenye ziara ya kimafunzo kwa wenzao wa mfuko Kama huo wa nchini hapa wa NAPSA.
Home
Unlabelled
Wadau wa Mfuko wa PSPF ziarani nchini Zambia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TANZANIA HOUSE:
ReplyDeleteWajameni hiyo T mbona ipo mguu upande?
VETA na DIT mpo wapi?,
Tuwe na mwamko wa Uzalendo kama Watanzania, ingefaa mnaofanya Mafunzo kwa Ufundi (Field) muwe mnasafiri kwenda kwenye Balozi zetu nje mkafanya chochote huko.
Msipo ijenga ninyi Tanzania na kuijali nani ataijenga?
Nendeni Lusaka-Zambia kwenye Ubalozi wetu mkaokoe Jahazi kwa kuiweka T kuwa wima !