Profesa Jamidu Katima wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam (aliesimama) akitoa elimu kwa wataalamu kuhusu madawa yanayokaa ardhini kwa muda mrefu,katika siku ya pili ya Warsha ya mafunzo hayo kwa wataalam mbali mbali wa maswala ya tabia nchi,inayoendelea mjini Arusha.
Baadhi ya waataalam washiriki wa warsha wakimsiliza Profesa katika mafunzo hayo.
Picha na Evelyn Mkokoi (Arusha)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...