Mhe. Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba akijibu kwa ufasaha na kwa ustadi mkubwa kabisa maswali kutoka kwa wananchi waliohudhuria Mkutano wa Maendeleo ya Nchi yetu uliofanyika DMV Jumapili Sept 29,2013
Liz Haynes akifuatilia Mkutano kwa Makini.
Mh. Mwigulu akifafanua jambo katika Mkutano wake na Watanzania DMVMhe. Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba aliruhusu kila swali liulizwe na aliyajibu yote kwa ufasaha na kwa ustadi mkubwa hakuna mwananchi aliyerudi na dukuduku nyumbani. Pichani Kulia aliyeketi ni Msaidizi wa Rais Bw. Rajab Luhwavi
Dada Georgina Lema akiuliza Maswali yake kwa hisia kali.SWAHILI
TV TELEVISION YAKO YA KIZALENDO ILIKUWEPO KATIKA KUHAKIKISHA MATUKIO
YOTE YANAWEKWA KATIKA KUMBUKUMBU MUHIMU ZA VONGOZI WETU
Si mrudi Tanzania mkafanye siasa huko.
ReplyDeleteMnachekesha kweli kweli..Mnajidai mnauchungu na TZ wakati mnatafuta pakuponea
Michu usinibanie,
ReplyDeleteNamshauri Mheshimiwa aendelee na trademark yake ya bendera shingoni, hilo shati la bendera plus an extra bendera kwenye mfuko tena noma!
Je tunaweza kuona picha za wasikilizaji?
ReplyDelete