Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dr. Fenella Mukangara akimkabidhi medali ya dhahabu na Beji Bingwa wa Dunia wa Shotokan Karate kwa uzito wa kg 55 wakati alipokuwa mgeni rasmi katika mashindano ya mchezo wa huo  uliofanyika mapema mwishoni mwa wiki jijini Bursa nchini Uturuki. Mashindano hayo yameshirikisha zaidi ya nchi 26 kutoka nchini za Ulaya, America, Afrika na Asia.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dr. Fenella Mukangara akiteta jambo na Rais wa Karate  Duniani Prof. Antonio Martizo (kushoto) alipokuwa mgeni rasmi  katika mashindano ya Dunia ya mchezo huo mapema mwishoni mwa wiki Bursa Uturuki. Ambapo zaidi ya nchi 26 kutoka nchini za Ulaya, America, Afrika na Asia. 
PICHA NA - WHVUM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...