Mshambuliaji wa Ruvu Shooting ,Juma Hamisi (kushoto) akiwania mpira na Winga wa Azam Fc,Khamis Mcha, katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Chamanz i jijini  Dar es Salaam. Azam imeshinda 3-0. 
Wachezaji wa timu ya Azam Fc  wakishangilia bao la pili  lililofungwa na Joseph Kimwaga  dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara.

Mshambuliaji wa Ruvu Shooting ,Juma Hamisi (kushoto) akiwania mpira na Winga wa Azam Fc,Khamis Mcha, katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara ulichezwa kwenye Uwanja wa Chamanzi jijini  Dar es Salaam.
Picha na Francis Dande

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongera sana Azam FC .... hii inaongeza ladha ya VPL msimu huu 2013/2014....na sijajua hii match ya mwisho ya kumalizia 1st round kati ya Azam FC vs Mbeya City itakuwa kuwaje huko uwanja wa Sokoine, Mbeya....nadhani itakuwa match ya burudani na ufundi mkubwa.....nani siku hiyo atakubali kutibua record yake ya kutopoteza match? - tuvute subira panapo majaaliwa tushuhudie soccer la vijana hao!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...