Luke Music Factory inakuletea Disco kabambe la mkesha wa Thanksgiving siku ya Jumatano Novemba 27,2013 kwenye kiota cha maraha pendwa SESKA LOUNGE kuanzia saa 3 usiku (9pm) mpaka Majogoo.
Kama wewe ni kijana wa zamani unajua Dj Luke na mambo yake ya enzi hizo na kama wewe ni kijana wa kileo wala usikonde kurusha mikono, kutikisa kichwa na kujiachichia ndio utakua mtindo wako KARIBU Seska Lounge na wewe uwe mmoja ya wale watakaoanza THANKSGIVING ya mwaka huu kwa staili ya pekee
Anuani ya Seska ni
2017 Veirs Mill Rd
Rockville, MD
KaRiBu uburudike na Ubomba wa muziki wa Dj Luke
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...