Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,pamoja na Viongozi mbali mbali, wakipata maelezo ya ujenzi wa Barabara za Wilaya ya Wete,zikiwemo Kipangani-Kangani,Chwale-Likoni,na nyengine zinazojengwa kwa ufadhili wa Shirika la MCC la Marekani,kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu,Injinia R.D.Sharma,wa kampuni ya Lea Associates south Asia PVT,wakati wa ziara ya Wilaya ya Wete Pemba.

 Baadhi ya Wafanyakazi wa Mfuko wa Changamoto za Millenia MCC wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza pamoja na wananchi wa Mzambarau Takao,baada ya kupata taarifa za Ujenzi wa Barabara za Wilaya ya Wete zinazojengwa na mfuko huo jana akiwa katika ziara ya Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wananchi  wa Mzambarau Takao,alipokuwa katika ziara ya kuzitembelea Barabara zilizojengwa na Mfuko wa Changamoto za Millenia MCC   katika Wilaya ya Wete , Mkoa wa Kaskazini Pemba jana,(kulia ya Rais ) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ,Haji Omar Kheir.
Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...