Pichani Mh Waziri John Nchimbi na maafisa wake wakiwa na mh Balozi Grace MUJUMA Aliye upande wa kulia wa Mh Waziri,na maafisa wa Ubalozi huo bi Justa Nyange pembeni kwa Balozi,Bw Jeswald Majuva Aliye mwisho kushoto na Bw Huddy Kiangi aliyechuchuma mbele na Shati la kitenge.Wengine Pichani ni viongozi wa jumuiya ya watanzania waishio Lusaka Zambia Bw Ngowi mwenyekiti Aliye upande wa kushoto wa mh Waziri,Makamu mwenyekiti Mrs Mulenga Aliye upande wa kulia,Katibu Bw Greenwell Mwahalende Aliye nyuma ya Mrs Mulenga na bw Gwakisa katibu mwenezi wa jumuiya hiyo aliyechuchuma mbele mwenye Shati jeupe.
Mjumuiko huo ulitokea nyumbani kwa Mh Balozi tarehe 24/11/2013 wakati alipowaalika kwa ajili ya mazungumzo ,kubadilishana Mawazo na kupata chakula cha jioni.
Home
Unlabelled
Dkt. Nchimbi aendelea na ziara yake ya kikazi nchini Zambia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...