Mtoto wa nyoka ni nyoka. Msemo huu unaendana na juhudi za kijana Hassan, mtoto wa Marehemu TX Moshi William ambaye anaonekana kuziba pengo aliloacha baba yake ndani ya Msondo Ngoma Band ambayo kila Ijumaa jioni hufanya onesho la bure katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es salaam chini ya udhamini wa KONYAGI. 
Hii ilikuwa ni usiku wa kuamkia leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Dogo Hassan ! kamatia hapo hapo jembe,usitoke kabisa hao ndio walezi na wazazi Baba ya Muziki, umefit sana kama kiatu na soksi
    Wadau
    FFU

    ReplyDelete
  2. Hongera Msondo Ngoma na wadhamini KONYAGI kwa kuhakikisha muziki wa kweli yaani wa dansi unaendelea na kudumu.

    Makampuni mengi yaige mfano wa KONYAGI kwa kudhamini pia bendi zingine za muziki wa ki-Tanzania wa dansi iwe bendi moja-moja au tamasha kubwa la muziki wa dansi uataoshirikisha bendi kama Msondo, Sikinde, Super-Kamanyola, FM Academia, Njenje n.k

    Mdau
    Muziki -wa-Dansi.

    ReplyDelete
  3. Hili wo wo wo la manjano nimelikubali, na dume wake ni mstaarabu akamwachia moshi mdogo aselebuke, na moshi mdogo big up mate, keep it up buddy. Mmenikumbusha mbali vijana Enzi zetu tukiselebuka uswahilini.

    ReplyDelete
  4. Hiyo inatwa "Live Band".

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...