Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi mgodi unaomilikiwa na kampuni ya Nsagali uliopo Ushirombo wilayani Bukombe, Mkoa wa Geita jana.Kushoto ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mh.Masele,Wa pili kushoto ni mmoja wa wamiliki wa mgodi huo Bwana Emmanuel Silanga, Wanne kulia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mh.Profesa Kalikoyela Kahigi na kulia mwisho ni Mkuu wa Mkoa mpya wa Geita Mhe. Said Magalula.
Mmoja wa Wamiliki wa Mgodi wa Ngasali Bwana Emmanuel Silanga kulia akimwonesha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete uchenjuaji wa dhahabu unaofanyika katika mgodi huo uliopo Ushirombo,Wilayani Bukombe, mkoa wa Geita. Picha na Freddy Maro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Ongera watanzania kwa kuwekeza nchini kwani tunaweza lakini Mbona vifaa vya kijikinga hamjampa mh Rais naomba tuwe makini Rais Wetu tunampenda na tunamuhitaji

    ReplyDelete
  2. Hongereni sanaMh Raisi,Hongera wawekezaji.Waziri wa Nishati yupo atwambie kama hiyo ni juisi?

    ReplyDelete
  3. Hii safi sana,nimefurahi sana leo kwa kusoma habari hii. Watanzania tunatakiwa kifanya hivi kwasababu tunaweza kila kitu kufanya.Hata kodi wakisamehewa kwa muda ni sawa kabisa hawa wawekezaji wa ndani

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...