Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga akiwa pembeni ya Kombe la Dunia lililopo nchini katika ziara zake leo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leonard Thadeo akiwa pembeni ya Kombe la Dunia lililopo nchini katika ziara zake leo jijini Dar es Salaam.
 Katibu     Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga (katikati) akielekea katika banda lilipo Kombe la Duni wakati wa ziara ya Kombe hilo hapa nchini leo jijini Dar es Salaam, Kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Leonard Thadeo na Kushoto ni Meneja wa Uwanja wa Taifa Rish Moses Urio.
 Baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu waliofurika uwanja wa Taifa kushiriki ziara ya Kombe la Dunia wakiwa katika foleni ya kuelekea eneo lilipo Kombe hilo leo jijini Dar es Salaam. Picha zote na Frank Shija - WHVUM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...