Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Nyinyi watu mko dunia ya kwanza lakini majadiliano yenu ni ya dunia ya tatu,mnataka kikwete akaongee kiswahili ndani ya oval office tutapata misaada kweli,umeme utawaka ubungo,mabarabara yatakuwa hayajengwi sisi ni ombaomba bajeti yetu bado inapangwa kwa kutegemea misaada,mtake au msitake kiingereza ni mhimu kwa mtanzania.tujifunzeni mandalini mchina kaja juu kiuchumi.

    ReplyDelete
  2. Raisi wa Iran anafahamu kiingereza kwani amesoma PhD yake Uingereza na ameandika repoti kwa kiingereza.

    ReplyDelete
  3. Lugha ya Taifa ya Tanzania ni Kiswangilish kwa waliosoma na Kiswahili kwa waliokuwa na elimu ya lazima. UK lugha ya Taifa ni English (Strong English) kwa wenye elimu kubwa na (Weak English) kwa wenye elimu ya lazima.

    Mdau UK

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...