Kiota Kipya cha SHADE Lounge and Grill ambachi ni cha kisasa na muonekano wa kivingine kabisha ukilinganisha na Viota vingi,Kiota hiki kipo Masaki,Barabara ya Kahama jijini Dar es Salaam.Pichani ni sehemu moja wapo ya Kiota hicho ambayo unakutana nayo pindi uingiapo tu. 
Mmiliki wa Kiota hicho,Dada Devolta (kati) akiwa na wadau waliotembelea kiota hicho wakati wa Ufunguzi wake.Kushoto ni Mbunifu wa Mitindo,Ally Remtullah
Taswira Mwanana kabisa ndani ya Kiota hicho.
Kunapendeza sana kwa kweli.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...