Baadhi ya wahitimu wa kidato cha nne katika skuli ya Daarul Arqam iliyoko Kigamboni Dar es Salaam.
 Baadhi ya wahitimu wa maandalizi katika skuli ya  Daarul Arqam iliyoko Kigamboni Dar es Salaam.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akikabidhi cheti kwa mmoja wa wahitimu wa kidato cha nne katika skuli ya Daarul Arqam iliyoko Kigamboni Dar es Salaam.

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa katika ya pamoja na uongozi wa skuli pamoja na baadhi ya wahitimu wa skuli ya Daarul Arqam iliyoko Kigamboni Dar es Salaam.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akitia saini kitabu cha maombolezi kufuatia kifo cha mtoto wa Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)  Peter Philip Mangula.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akimpa pole Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)  Bw. Philip Mangula, alipofika nyumbani kwake Ostabey Dar es Salaam, kufuatia kifo cha mtoto wake Peter Philip Mangula. (Picha na Salmin Said, OMKR)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...