| wahitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam, wakiwa mbele ya mgeni rasmi tayari kwa kutunukiwa shahada zao. |
| Fatihiya Mohamed (wa pili kushoto) akiwa tayari kwa kutunukiwa shahada ya uzamili ya biashara na uongozi. |
| wahitimu wakisubiri kusogea mbele ili kukabidhiwa shahada zao. |
| Fatihiya na wahitimu wenzake wakisikiliza jambo wakati wakisubiri kutunukiwa shahada zao za uzamili ya biashara na uongozi.PICHA NA FRANCIS GODWIN. |


Three photos, showing the same graduand, as if they were the only ones graduating, kweli hii ni glubu ya jamii au globu ya jamaa? congratulations to all the graduands, mkachape kazi sasa siyo mambo ya kurorosa tu.
ReplyDelete