Mkuu wa Shule akisoma risala ya shule wakati wa mahafali ya kidato cha nne Mbande sekondari, Kigamboni, Temeke 
 Mwanafunzi bora akipokea zawadi toka kwa mgeni rasmi
 Burudani ya wahitimu
 Sehemu ya wahitimu
Mgeni rasmi Mjumbe wa NEC Temeke Ndg.Phares Magesa akitoa nasaha katika mahafali ya Mbande , Mgeni rasmi akitoa wito kwa Jamii yote kuunga mkono jitihada za serikali kuimarisha elimu nchini

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. HAWA MASISTERS NA BROTHERS AU?

    ReplyDelete
  2. mdau hapo juu wewe unaonaje kwani mafazas na mamas au?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...