Mwili wa Mtanzania Jerry Isaack Mruma  aliyekuwa akisoma Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Marekani (USIU) tawi la Nairobi nchini Kenya akichukua Shahada ya Uzamili ya Utawala wa Biashara (MBA) aliuawa wakati akitoka kwenye hafla ya usiku wa Mtanzania mjini Nairobi. Mwili  wake ulipatikana mwishoni mwa wiki iliyopita. Amezikwa leo katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
 Familia ya Isaack Mruma ikiwa katika ibada maalum ya kumuombea marehemu iliyofanyika katika Kanisa la KKKT, Usaharika wa Mbezi Beach Dar es Salaam.
Kutoka kushoto ni Mama mzazi wa Jerry, Bi Joyce Mruma, Khan Mruma ambaye ni kaka wa marehemu, baba mzazi wa Jerry, Isaack Mruma na mdogo wake Kelvin Mruma wakiwa katika ibada hiyo. PICHA ZAIDI FATHER KIDEVU BLOG

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Too painful kwa kweli. My heartfelt condolences to the family and let the soul of your beloved son Jerry RIP. Amen

    ReplyDelete
  2. RIP Jerry...

    ReplyDelete
  3. Apumzike kwa amani ya Bwana. Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina lake libarikiwe Amina RIP

    ReplyDelete
  4. RIP JERRY, you will be missed.

    ReplyDelete
  5. sijui ni kwa nini sisi binadamu tumekuwa wanyama kiasi hiki kijana mdogo kama huyu mwenye mwelekeo mzuri,elimu safi mwenye ndoto kumbwa anakatishwa maisha yake kama hivyo? inauma sana.

    ReplyDelete
  6. R.I.P jery

    ReplyDelete
  7. Mungu aipunguzie chungu familia yake na ampumnzuke kwa amani.

    ReplyDelete
  8. very painfully....tears on my eyes... RIP Jerry u'll b missed.

    ReplyDelete
  9. Worst nightmare for any parent.. Kuondokewa tu na mtoto hata kama aliugua ni jambo zito na linauma sana, ni against usual nature kwani yeye ndie alitakiwa akuzike. lakini Kuondoka katika mazingira ya namna hii mbona hii ni ngumu mno kuamini! Kama mzazi unaamini mtoto wako akifikia age kama hiyo na bahati nzuri akiwa makini na mwenye mwelekeo mzuri, independent-minded na busara kama tulivyoona kwa kijana huyu, mzazi mbona unapata tumaini kubwa na relief kuhusu future ya kijana wako. Tumaini lote kwa wazazi na wanafamilia limezimwa kikatili hivi..Poleni wana familia. Yote mumwachie Mungu tu. Ndiye atayewalipia kwa mateso ambayo mmeyaingia bila kutegemea sasa, pengine for the rest of life. Mungu ampumzishe kwa amani. Amen.

    ReplyDelete
  10. So saddened by this brutal killing of such a full of knowledge,inspirational, dynamic and God loving child of Tanzania. I have repeatedly viewed his interview about Kilimo Yetu and Agribond and I can't comprehend how this can be sooo so final for him. So confident, intelligent and, full of knowledge. I just hope his ideas and the business he started will be a living example of Jerry. They have killed the body but not his ideas. Poleni sana mama, baba na ndugu wote. Mungu ailaze Roho ya Jerry mahali pema peponi. Bwana alitoa na Bwana ametwaa. Selina

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...