Washiriki wa mashindano ya mbio za mitumbi Wanaume, Mkoa wa Mwanza yanayodhaminiwa na Kampuni ya TBL kupitia Bia ya Balimi wakishindana yaliyofanyika katika ufukwe wa Mwaloni jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
Washiriki wa mashindano ya mbio za mitumbi Wanawake, Mkoa wa Mwanza yanayodhaminiwa na Kampuni ya TBL kupitia Bia ya Balimi wakishindana yaliyofanyika katika ufukwe wa Mwaloni jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
Mabingwa wa mbio za mitumbwi Wanawake wakiwasili katika ufukwe wa Mwaloni jijini Mwanza zinazozaminiwa na TBL kupitia Bia ya Balimi mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Good Sport...na michezo hii tunaiweza TUKIWEKEZA....Congrats TBL...Blow them up biggger!

    ReplyDelete
  2. Pelekeni na Kojani na Kisiwa Panza Pemba akina mama huwa wanapiga makasia kwa nguvu tu.

    Ila sijui hilo la TBL

    ReplyDelete
  3. Naona Mwanza mko juu kimichezo kweli kweli

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...