Kituo cha matibabu ya vidonda vya tumbo Cha Rahabu Ulcers Clinic Centre Cha jijini Dar es Salaam, kimemkabidhi tuzo ya heshima Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa kwa kutambua mchango wake mkubwa katika jamii.Pichani Mkurugenzi Mkuu wa Kituo hicho,Dk. Rahabu Rubago(katikati) akimkabidhi Mh Lowassa tuzo hiyo.Kulia ni Meneja Mkuu wa Kituo hicho Catherine Kahabi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...