Home
Unlabelled
MICHEZO MBALI MBALI YA WATOTO NDANI YA GOLD REEF CITY - THEME PARK JIJINI JOHANNESBURG
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hizo pembea hata Zanzibar tunazo miaka karibu miaka 38 sasa.
ReplyDeleteMdau hapo wa mwanzo kabisa, hizo pembea unazojisifia tunazo huko Zanzibar ni dahari hizo zilizopitikia, kiwanja kile cha kufurahishia watoto cha Kariakoo - Zanzibar, hakikuwa kikifanyiwa matengenezo ya mara kwa mara (Renovation) mpaka takriban pembea zote zikafikia kuchakaa kwa kupata 'kutu' (rusting) na khatma yake zote zikawa hazitumiki tena na kiwanja kile kwa sasa hizi mle ndani kimevunjwa vunjwa na mapembea hayo hayapo tean, kuna ujenzi ambao unaendelea sina hakika ni wa kitu gani, ila khabari ya kusema ati tuna mabembea Zanzibar, kama ulivyodai miaka karibu 38 sasa, hilo sahau! Imebakia khadithi tu kwa kizazi kilichopo na kijacho sio kile cha enzi zetu.
ReplyDelete