Zimebaki siku 5 tu kumpendekeza Mama, Mke, Dada, Bibi, Shangazi, rafiki, mkulima mwanamke mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea ashinde vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tshs. Milioni 5.

Mpe zawadi ya mwaka kwa kubofya hapa https://www.surveymonkey.com/s/growtanzania na kujaza sehemu zote.

Fahamu zaidi kuhusu shindano kwa kuandika barua pepe kwenda GrowTanzania@oxfam.org.uk

Wekeza Kwa Wakulima Wadogo Wanawake. Inalipa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...