Meza Kuu wakati wa Mkutano wa Maafisa Waandamizi wa Ushirikiano baina ya Nchi za Afrika na Kiarabu {Afro Arab Summit} ulioanza tarehe 14 Novemba, 2013 nchini Kuwait |
Kiongozi wa Ujumbe wa Tanzania, Bw. Uledi Juma Musa, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara akisikiliza kwa makini hotuba ya Mwenyekiti wa mkutano |
Sehemu ya ujumbe katika ukumbi wa mkutano |
Baadhi ya bendera katika ukumbi wa mkutano. |
Picha na Ally Kondo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...