Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D. Yambesi akifungua mkutano wa wadau kuhusu mikataba ya utendaji kazi katika Utumishi wa Umma uliowahusisha watendaji wakuu wa taasisi za serikali ili kupata maoni yao jijini Dar es salaam leo.
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, na Mwenyekiti wa mkutano Bw. HAB Mkwizu akisikiliza mada wakati wa mkutano kuhusu mikataba ya utendaji kazi katika Utumishi wa Umma.
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D. Yambesi, (wanne kushoto), na Naibu Katibu Mkuu Bw. HAB Mkwizu (watatu kushoto, waliokaa), katika picha ya pamoja na baadhi ya wadau waliohudhuria mkutano kuhusu mikataba ya utendaji kazi katika Utumishi wa Umma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...