Jumuiya ya
watanzania wa Leeds tunasikitika
kutangaza habari ya msiba wa dada yetu Mrs Maua Mpankuli (pichani) uliotokea jana usiku tarehe 1 Novemba 2013 hapa
Leeds, United Kingdom.
Msiba
utakuwa nyumbani kwake:
8 Beech
Crescent,
Leeds,
LS9 6SQ
Marehemu
ameacha mume na watoto wanne. Mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu toka UK
kwenda Tanzania kwa mazishi inafanywa.
Jumuiya ya
watanzania wa Leeds na UK kwa ujumla mnaombwa mchango wa kufanikisha shughuli
za kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Tanzania kwa ajili ya mazishi. Kwa wale
watakaopenda kuwasilisha michango ya pesa kusaidia shughuli hii wanaweza kutuma kwenye akaunti za mume na
binti wa marehemu.
Name: Martin
Mpankuli
Bank:
Barclays
A/C No.:
10927333
Sort Code:
204842
Swift code:
Name: Gift
Angela Hamisi
Bank: Lloyds
A/C No.:
20044160
Sort Code:
771410
Kwa maelezo
zaidi wasiliana na
Peter
Timakela kwa simu 07402555424
Thomas
Kiwalaka 0752 64 99312
Lala salama dada Mwenyezi Mungu ni Mwema kwetu sote tunaamini uko pahala pema zaidi.
ReplyDeleteLala Salama dada
one of the strongest women's gone....you'll deeply be missed...tutakukumbuka sana aunt maua, sitasahau ucheshi wako
ReplyDeletePoleni sana kwa msiba huu mzito familia yote ya marehemu na wana Leeds wote.
ReplyDeleteR.I.P Dada yetu..tulikupenda bali Mungu kakupenda zaidi.
Pumzika kwa Amani..
ReplyDelete