Mhe Job Ndugai,Naibu Spika akipokelewa kwa ngoma za kihabeshi wakati akiwasili katika uwanja wa ndege wa Bole jijini Addis Ababa,Ethiopia.Mhe Ndugai Yuki nchini Addis Ababa kuhudhuria mkutano wa Mabunge ya nchi za Afrikaans,Caribbean na Pacific ambapo anaongoza ujumbe wa Bunge la Tanzania unaojumuisha Mhe Mussa Zungu,Mbunge wa Ilala na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje name maafisa wengine.
Mhe Naibu Spika Ndugai akipewa neno la ukaribisho na Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia Bw.Ndatta katika uwanja wa ndege wa Bole jijini Addis Ababa. Picha na Saidi Yakubu wa Ofisi ya Bunge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...