Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda katika picha ya pamoja na wadhamini wakuu mara baada ya kufungua Mkutano wa Ushirikiano wa Serikali za Mitaa kati ya Tanzania na China uliofanyika jana katika kituo cha mikutano cha Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Wafanyakazi wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja Wakubwa wa benki ya NMB wasikimsikiliza Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda , alipokua akifungua Mkutano wa Ushirikiano wa Serikali za Mitaa kati ya Tanzania na China uliofanyika jana katika kituo cha mikutano cha Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Mmoja wa wageni walioyohudhuria Mkutano wa Ushirikiano wa Serikali za Mitaa kati ya Tanzania na China Bi.Vivian Meng akipata maelezo kuhusu Huduma za NMB ChapChap kutoka kwa Afisa wa NMB, Batuli Sunna (kati) alipotembelea banda la NMB, kushoto ni Afisa wa NMB, Dorine Salvanus.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...