Meneja Huduma kwa Mlipa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Allan Joseph Kiula, akipata maelezo kuhusu bidhaa na huduma zinazotolewa na benki ya NMB kutoka kwa Afisa wa NMB, Adamu Karazani (kushoto) alipotembelea banda la NMB katika maonyesho ya wiki ya mlipa kodi yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja. Wengine kutoka kulia ni maofisa wa NMB Edith Mavura na Exvaria Mapunda.
Home
Unlabelled
NMB YASHIRIKI MAONYESHO YA WIKI YA MLIPA KODI YANAYOENDELEA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...