Waziri Mkuu alieyejiuzulu ambae pia ni Mbunge wa Monduli CCM,Edward Lowasa,(kshoto) wakifurahia jambo wakati wa mazungumzo yao na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,Alex Msama, walipokutana nje ya ukumbi wa bunge mjini Dodoma,mara baada ya kuahirishwa kwa kipindi cha maswali na majibu.
  Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera uratibu na bunge,William Lukuvi(kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,Alex Msama(kulia) walipokuwa wakizungumza jambo.
 Mbunge wa Msalala,CCM,Ezekiel Maige,(katikati) wakibadilishana mawazo kuhusu changamoto mbalimbali za kisiasa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,Alex Msama walipokutana kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma,(kushoto) ni Mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila.
 Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Profesa Anna Tibaijuka(kushoto) akifurahia kukutana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,Alex Msama,nje ya ukumbi wa bunge mjini Dodoma,, (katikati)ni Naibu Waziri wa wizara hiyo Gudluck Ole Medeye.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. PICHA MBALIMABALI ZA ALEX MSAMA

    sesophy

    ReplyDelete
  2. Ni kweli kabisa anonymous 1 ni za Msama tu, kiswahili kigumu au basi tu?

    ReplyDelete
  3. Michuzi alijua hilo, ingekua vizuri kama angeeleza jinsi anonymous 1 alivyo-make clear!!

    ReplyDelete
  4. yaani siku hizi kuna lobbists huko bungeni. watu wakiona biashara zao haziendi ndio wanaingia bungeni?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...