Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea mbele jopo la Marais wastaafu wa Afrika linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Msumbiji Mhe Joaquim Chissano
anayefuatana na Rais Mstaafu wa Botswana Mhe Festus Mogae leo Novemba 25, 2013 Ikulu jijjini Dar es salaam. Mhe. Chissano, ambaye ni mwenyekiti wa Jopo
hilo pamoja na Mhe Mogae, walifika Ikulu kusikiliza upande wa Tanzania kuhusu mgogoro wa mpaka na nchi ya Malawi, baada ya kufanya hivyo hivi karibuni
huko Blantyre.
PICHA NA IKULU
Home
Unlabelled
RAIS KIKWETE AKUTANA NA JOPO LA USULUHISHI WA MIGOGORO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Jopo lipo kamili kabisa.
ReplyDeleteNadhani jukumu la pili baada ya Malawi tungeomba Waheshimiwa hawa waelekee na kule Kigali-Rwanda ni wazi hali sio nzuri na Tanzania!