Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya aliyemtembelea na kumsabahi hotelini kwake Sandton Sun jijini Johannesburg, Afrika ya Kusini, leo Oktoba 5, 2013

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza jambo na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya aliyemtembelea na kumsabahi hotelini kwake Sandton Sun jijini Johannesburg, Afrika ya Kusini, leo Oktoba 5, 2013.PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 27 mpaka sasa

  1. Hiyo suruali aliyovaa Kenyatta ni ya njano au ?

    ReplyDelete
  2. Amani tayari majirani

    ReplyDelete
  3. Amuulize kunani kwenye mikutano yao ya kivyaovyao....!!!!!!

    ReplyDelete
  4. Wezio ukikutana nao wanakua kama watu ukiachana nao wanageuka chatu,ningependa umwambie kuanzia leo naweka sheria mpya ya ww na wananchi wako,mkitaka kuingiza biashara zenu kwetu mfuate hiyo sheria mpya mtakayo isikia kwenye vyombo vya habari,,napia msako wa toa wakenya kwenye mahoteli yetu au kwenye makampuni yetu uko njiani waja na utasimamiwa na jeshi la wananchi yaani JWTZ. Kwa leo ni hayo tu au unasemaje? Na ile akifika kwake tu neno la kwanza litakua MTUUUUUMEEEEE TUMEKWISHAAA,,naitwa mdudu kakakuona

    ReplyDelete
  5. Amuulize kunani kwenye mikutano yao ya kivyaovyao....!!!!!!

    ReplyDelete
  6. Mhe. JK nitafurahi kama amemwambia Kenyatta suala la Coalition of the Willing kuwa ni utengano kwenye Jumuiya jambo ambalo halina busara kuendeleza. Hivyo turudi mezani kujadili masuala ya yanayotuunganisha na sio kujitenga haita saidia nchi wanachama.

    ReplyDelete
  7. Huyo Uhuru asituburuze ktk kesi yake na ICC.
    Thanks lord viongozi wetu wamesha anza kumshtukia.
    Anachosema silo alilo kusudia kutenda.

    ReplyDelete
  8. wala usimbembeleze kumuuliza upuuzi wao na Kagame.

    ReplyDelete
  9. Hahahahaha Mdau wa Kwanza HAYO NI YALE YALE MAMBO YA 'KACHUMBARI'

    Uvaaji huo kwa Tanzania yetu wanavaa Makundi ya Komedi.

    Mwanawane watani zetu wa Jadi Kenya Licha ya kuwa Wasomi wazuri wa Kiingereza bora cha kujitahidi kidogo kwao mavazi hawajui kuyapanga!!!

    ReplyDelete
  10. Mhe. Raisi Kikwete:

    Epuka sana Undugu wa Kinafiki popote uwapo, licha ya kuwa mpo Ugenini huko Kusini.

    WAO 'Coalition of the willing' KAMA WAMESHA MWAGA MBOGA HAPA AFRIKA YA MASHARIKI SISI TANZANIA tutamwaga UGALI !

    Fanya kitu kimoja muhimu, huko huko ukiwa Kusini weka mazingira ya (i)CET-Common Exeternal Tariff (ii)FTA-Free Trade Area na nchi za Kusini South Africa,Namibia,Zimbabwe ambazo ni SADC na Msumbiji na Zambia mbazo ni SADC pia zipo COMESA halafu AINA YA BIDHAA KAMA TUNAZOAGIZA KENYA ZOTOKEE KUSINI KWA KUPUNGUZA MASHARITI NA KUWASHUSHIA USHURU ILI BEI ZISHUKE ZA BIDHAA HIZO (AMBAZO NI ZA KIWANGO CHA JUU KWA UBORA KULIKO ZA KENYA) ZIWEZE KUINGIA NA KUFURIKA TANZANIA ZIKIWA CHINI YA BEI ZA BIDHAA ZA AINA HIYO ZINAZOTOKEA NCHINI KENYA.

    Nadhani kwa hatua hiyo huyo unayekaa naye hapo kwa Maongezi ataondoka kwake IKULU KWAKE-NAIROBI NA KUJA IKULU KWAKO KIKWETE MAGOGONI DAR KUKUPA SHIKAMOO!!!

    ReplyDelete
  11. Hawa akina K3 na the Coalition of Willing yao wameshaanza kutapa tapa!

    Kwanza Miradi yao ya Miundo mbinu imesha watoa kamasi.

    Gharama ni US$ 13 Bil. wakati Kenya inatakiwa kutoa US$ 7 Bil. huku ikiwa na deni la ndani kama Bajeti yake 2013/13 ambalo ni US$ 20 Bil. wakati Rwanda na Uganda wanatakiwa kulipa US$ 6 Bil. ambazo ni sawa na mara 2 ya Bajeti zao kwa mwaka huu.


    MIRADI HAITEKELEZEKI,

    NI WAZI WAMESHA KWAMA!

    ReplyDelete
  12. Uhru Kenyatta wale wenzako ulio kuwa noa kwenye Kuni la K3 sio kabisa chomoka kabla mambo hayajakuwa mabaya kwako.

    Wewe umgeni ktk Kiti cha Uraisi hata mwaka mmoja hujafikisha tokea uingie Ofisini.

    Yule wa Kampala anakaribia mwaka wa 30 akiwa Madarakani miaka 27 sasa tokea mwaka 1986 huku akiwa maesha haribu sana hadi kukatiwa Misaada.

    Yule mrefu wa Kigali, nyota yake imesha fifia ni kuwa ile ATM yake ama Akaunti ya bahati iliyokuwa inamwingizia Dola za Madini ya Kongo-DRC Kundi la M-23 Vita wameshindwa na Majeshi ya Serikali na UN-Tanzania BRIGADE, hivyo Brother Big wako Paul mambo yamesha mwendea kombo sasa huku akiwa amesha tawala kwa Kiganja cha chuma kwa miaka Miaka 20 karibuni tokea mwaka 1994.

    Hivyo Uhuru soma alama za Nyakati haraka na uachane nao wale Fungu la Kukosa, KWA HAYANISEMAYO HAPA NAAMINI UTAKUJA KUNITAFUTA MSEMA WAZI NILIYEPO TANZANIA!

    ReplyDelete
  13. Wewe m-TZ, nilikunja kwako hapo Ikulu tupinge soga. Nilijua kuwa mimi nitakuwa Rais wa Inji ya Njongoo; nikamtuma Ruto wagu hapo kwako Seregeti Lodge....lakini wapi, Bwana!

    Bado wananisoga soga na kunifuatilia fuatilia huko ICC!

    ReplyDelete
  14. Are you colour blind? Suruali ni rangi ya dhahabu!

    ReplyDelete
  15. Hivi JK hana shati linguine maana alilivaa akiwa Njombe au mashati mengi ya rangi hiyo?

    ReplyDelete
  16. leo october 5????!!!!

    ReplyDelete
  17. Amkumbushe kuhusu jumuia yetu kwani naamini anaburuzwa na wale wahima

    ReplyDelete
  18. Kenyatta: Sasa JK ni aje mbona hupatikani??
    JK: Aaah mm nipo tu sina wasi kabisa na huo muungano wenu.
    Kenyatta: sasa ndo kusema
    JK: shauri yako hao watu waangalie sana si watu wazuri mbona mie nilikua nao Monduli kwenye chuo cha Jeshi, nawajua sana hao ndumilakuwili.
    Kenyatta:ok
    JK: hawakawii kukugeuka hao waangalie sana ,kingine ww unafaidika nao nn??soko??mbona sie ndo soko lako kubwa??vinchi vyenyewe vina watu wangapi?
    Kenyatta:pouwa nimekupata
    JK:mkikutana tena wasalimie waulize vipi muziki wa bunagana/mbuzi/goma???
    byee.
    mdau wa UK

    ReplyDelete
  19. Cha msingi ni sisi Tanzania na Watanzania tujue hatuna majirani, unafiki mtupu. Leo wameanzisha one single visa halafu wanasema Tz kama wanataka wataingia mlango haujafungwa, hivi inaingia akilini watu wakutenge wajadiliane wenyewe na waamue, halafu waseme wakitaka watakuja, kama walitutaka tungejadiliana ni wapi hatukubaliani sio kututenga. Mie nadhani mwenye macho haambiwi tazama, tumeona picha hatutakiwi kwenye jumuiya bora tuachane nao, kama ilivyonjika 1977 sio ajabu ikavunjika tena, tuachane na unafiki wa wenzetu kama huo wa kumtembelea Rais wetu, mbona hakumtembelea kabla hajakubaliana na wenzie kuhusu mambo mbalimbali ya jumuiya?

    ReplyDelete
  20. Mwisho wa Ubaya aibu!

    Wamekaa na Vikao vya Kinafiki akina K3 na leo uso kwa uso anakutana na wanayemtenga!

    Ndio kama iwavyo maishani mwetu unaweza kumfanyia mtu ubaya halafu mkakutana kwenye shughuli ya Kiukoo ama Kindugu ukajikuta unaaibika,,,ndio uso wa Uhuru K. hapo!!!

    ReplyDelete
  21. Mhe. Raisi Kiwete,

    UA KENGE KABISA KABISA HUKO AFRIKA KUSINI KWA MAWAZO YA Mdau wa hapo juu Bidhaa zitoke kusini kwa mipango hiyo ya CET, na FTA na nchi hizo.

    Huu ndio muda wa kuimwaga Kenya kuwa kianzo cha bidhaa za matumizi yetu, maana anatuburuza na kutaka tuwasujudie!, na haiwezekani kwa hilo.

    ReplyDelete
  22. Aibu kubwa imewapata, hadi mshirka wake Uhuru Kenyatta Paul Kagame kwa aibu ameshindwa kuhudhuria Kikao cha ICGLR na SADC huko Pretoria ,South Africa!

    Ni vile Majeshi yake ya Msituni M-23 yamechapwa vibaya sana na UN-TANZANIA BRIGADE huko Congo-DRC.

    ReplyDelete
  23. Uhuru Kenyatta na wenzeke wa Cow, 'Coaliion of willing' akina K3 ni lazima waakubali Majaribu na kukubali UKWELI ya kuwa TANZANIA NDIO BOSS WA UCHUMI NA MAENDELEO KUANZIA SASA!!!

    ReplyDelete
  24. NARUDIA TENA:

    Mhe. Raisi Kikwete,

    Usimuamini lolote asemalo huyo jamaa ni mwana Mtandao wa 'Coalition of willing-CoW' amekuja hapo kukutega.

    UA KENGE KABISA KABISA HUKO AFRIKA KUSINI KWA MAWAZO YA Mdau wa hapo juu Bidhaa zitoke kusini kwa mipango hiyo ya CET, na FTA na nchi hizo.

    Huu ndio muda wa kuimwaga Kenya kuwa kianzo cha bidhaa za matumizi yetu, maana anatuburuza na kutaka tuwasujudie!, na haiwezekani kwa hilo.

    ReplyDelete
  25. Uhuru Kenyatta:

    Alicho nacho nafsini mwake (ukiachilia tabasamu la usoni la kulazimisha analotoa hapo) ni walicho nacho watu wake na wenzake Uganda na Rwanda.

    Nimeamini ya kuwa Wa-Kenya,Wa-Ganda na Wanyarwanda (i)wanatudharau, (ii)wanatuchukia na kutuonea wivu sisi wa-Tanzania.

    Leo nimekaa na Mtanzania mmoja ambaye amesafiri sana na kukutana na ndugu zetu hawa wa mashaka huko nje ya nchi Ughaibuni.

    Jamaa maesema aliwahi kuonana na Mkenya mmoja ambaye alimwambia wazi ya kuwa anawachukia WATANZANIA!!!, jamaa akamuuliza ni kwa nini? yule Mkenya akajibu basi tu nawachukia!

    Sasa Wadau hapo vipi?,

    Huo ndio uso na moyo wa Raisi wao hapo huyo Uhuru Kenyatta!!!

    ReplyDelete
  26. Uhuru Kenyatta na wenzako:

    Mwenyezi Mungu ameshapanga hivi,

    1.Yule yeyote umshushaye kwa kumdharau yeye Mwenyezi atamwinua!

    2.Yule yeyote umwoneaye wivu yeye Mwenyezi atampatia !

    3.Yuel yeyote umchukiaye, mwenyezi atazidi kumpa na kumlinda!

    Wewe pia Paul Kagame na Yoweri Museveni itawagharimu sana mbele ya Jakaya Kikwete na Tanzania!!!

    NI MUDA MUAFAKA WA KUKUBALI YA KUWA KIKWETE NI BOSS WENU NA TANZANIA IMEBARIKIWA NA MUNGU,,,HAMWEZI KUZIBA MAJALIWA YA MWENYEZI MUNGU KWA RAISI WA TANZANIA JAKAYA KIKWETE, WATANZANIA NA TANZANIA YAO KWA KUTUMIA UNGO!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...