Meneja Mauzo wa duka la Vodacom Mlimani City,Bw.Salim Salimin,akimuonesha simu ya toleo jipya aina ya Samsung Galax note 3 yenye thamani ya Tsh 1,400,000 Bw.George Masawe wa pili toka kushoto alipofika dukani hapo kwaajili ya manunuzi ya simu hiyo.Wengine wanaoshuhudia ni baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo kushoto Elihuruma Ngowi na wapili toka kulia ni Edwin Byampanju .
Meneja uendeshaji maduka ya Vodacom Tanzania Bw.Elihuruma Ngowi akimuonesha mteja Bw. George Masawe saa aina ya Galax 3 yenye thamani ya Tsh 600,000 alipofika dukani hapo kwa thumuni la kununua saa hiyo inayopatika katika maduka ya Mtandao unaoongoza Tanzania wa Vodacom,kushoto ni Meneja Mauzo wa duka la Vodacom Mlimani City,Bw.Salim Salimin.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...