Majaji wa Shindano la Redd's Uni Fashion Bash wakiongozwa na Jaji Mkuu,Asia Idarous wakiwa makini kabisa kutazama washiriki wa shindano hilo lilifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa kijiji cha makumbusho na kushirikisha vyuo kumi na mbili vya jiji la dar es salaam.
Washiririki waliofanikiwa kuingia hatua ya tano bora ya ubunifu kwenye shindano la Redd's Uni Fashion Bash lilifanyika katika ukumbi wa kijiji cha makumbusho na kushirikisha vyuo kumi na mbili vya jiji la dar es salaam wakijipongeza kwa pamoja.
Mmoja wa Wamamitindo akipita jukwaani.
Washiririki waliofanikiwa kuingia hatua ya tano bora ya upande wa mitindo kwenye shindano la Redd's Uni Fashion Bash.
Warembo mbalimbali wakiongozwa na Redd's Miss Tanzania 2013,Happiness Watimanywa (wa pili kulia) wakifuatilia shindano la Redd's Uni Fashion Bash lilifanyika katika ukumbi wa kijiji cha makumbusho jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...