Familia ya marehemu Japhet Yatera wa Tabata Kinyerezi Dar es salaam inasikitika kuikie tangaza kifo cha mama yao mpenzi Bibi Yusta Japhet Yatera (pichanbi), kilichotokea leo tarehe 13/11/2013 ghafla nyumbani Tabata Kinyerezi.Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Tabata Kinyerezi Dar es salaam Habari ziwafikie ndugu wote, jamaa na marafiki.
Bwana ametoa, na Bwana ametwaa
Jina lake lihimidiwe



Poleni wafiwa.mungu awape nguvu.mi nilimwita aunt. Poleni sana ndugu zangu..
ReplyDeletePoleni wafiwa mimi alikuwa dada yangu,na tulikuwa tunafanya kazi pamoja,na wateja wengi walikuwa wananifananisha naye,kwa kweli inauma sana lakini yote ni mapenzi ya Mungu,Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
ReplyDeletePole sana Enid kwa kumpoteza mama
ReplyDelete