![]() |
| Mlimbwende Gabriela Isler, ambaye ni Miss Universe Venezuela 2013, anavishwa taji na Olivia Culpo, Miss Universe 2012, kwenye fainali za Miss Universe katika ukumbi wa Crocus City Hall jijini Moscow, Russia, usiku wa kuamkia leo. Kwa ushindi huo Venezuelan imeshashinda mataji 7 ya Miss Universe, 6 ya Miss World, 6 Miss International na 1 la Miss Earth. |
Bongo bado tupo tupo kwanza, ingawa mwakilishi wetu Betty Boniface kajitahidi sana kwa mavazi ya nyumbani na pozi za kimataifa kama inavyoonesha hapo chini. Iko siku na sisi tutakenua tu...
Betty alitinga na mavazi ya Tingatinga mkeka wa ukindu na
Vazi la Batik na urembo wa Kimasai vilimtoa vilivyo. Ila basi tu...






Siyo basi tu, RANGI YA MIILI YENU, NDO NOMA.
ReplyDeletenaungana na wewe mdau, ukiangalia wale wasichana karibu wote si lugha ni rangi, akipewa mweusi nafasi ya 16 au ya 10 ni kufunika maboya
ReplyDelete