Afisa Mkuu wa Mauzo na Masoko wa TTCL Bw.. Peter Ngota akizungumza na kamati ya michezo kutoka DIT(hawapo pichani) kuhusu umuhimu wa michezo sehemu za kazi na faida za michezo kwa afya zetu. Kushoto ni meneja rasililimali watu na mahusiano kazini Bw. Lawrence Thobias kulia meneja biashara Bw. Nicodemus Mngulu.
Afisa Mkuu wa Mauzo na masoko wa TTCL Bw. Peter Ngota akikabidhi sehemu ya vifaa vya michezo kwa Mwenyekiti wa DIT Sports Club Dr. Simeon Rwandallah.
Mwenyekiti wa DIT Sports Club Bw. Simeon Rwandallah akitoa neon la shukrani kwa Afisa mkuu wa mauzo na masoko baada ya kukabidhiwa vifaa vya michezo.
wawakilishi kutoka Taasisi ya teknolojia Dar es Salaam, kutoka kushoto ni Fidea Chale Mwenyekiti DIT Sports Club, Dr. Godwin Ndeki katibu - DIT sports club, L. Sombi Afisa utawala na rasilimali watu, Dr. Simeon Rwandallah Mwenyekiti wa DIT Sports Club, Zuhura Haruna mhazini Michezo DIT, na James Issack Katibu msaidizi Michezo DIT.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...