Afisa Mkuu wa Mauzo na Masoko wa TTCL Bw.. Peter Ngota
akizungumza na kamati ya michezo kutoka DIT(hawapo pichani) kuhusu
umuhimu wa michezo sehemu za kazi na faida za michezo kwa afya zetu.
Kushoto ni meneja rasililimali watu na mahusiano kazini Bw. Lawrence
Thobias kulia meneja biashara Bw. Nicodemus Mngulu.
Afisa Mkuu wa Mauzo na masoko wa TTCL Bw. Peter Ngota akikabidhi
sehemu ya vifaa vya michezo kwa Mwenyekiti wa DIT Sports Club Dr. Simeon
Rwandallah.
Mwenyekiti wa DIT Sports Club Bw. Simeon Rwandallah akitoa neon la
shukrani kwa Afisa mkuu wa mauzo na masoko baada ya kukabidhiwa vifaa
vya michezo.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...