Waziri Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda akitoa hotuba yake wakati wa mkutano wa kimataifa wa watendaji wa Serikali za Mitaa kutoka Tanzania na China  uliofanyika jijini Dar es Salaam na kudhaminiwa na Benki ya CRDB.
 Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Muhingo Rweyemamu (wa pili kushoto) akifuatilia mkutano huo pamoja na wakuu wenzake wa wilaya.
Meza Kuu

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...