Waziri Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda akitoa hotuba yake wakati wa mkutano wa kimataifa wa watendaji wa Serikali za Mitaa kutoka Tanzania na China uliofanyika jijini Dar es Salaam na kudhaminiwa na Benki ya CRDB.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Muhingo Rweyemamu (wa pili kushoto) akifuatilia mkutano huo pamoja na wakuu wenzake wa wilaya.
Meza KuuBOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...