Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akisitiza jambo kwenye kikao hicho. Katika kikao hicho Balozi Alexandre Leveque ameahidi kutangaza fursa zilizopo katika sekta ya gesi na mafuta kwa wawekezaji waliopo nje ya nchi.
Balozi wa Canada Nchini Mhe. Alexandre Leveque (kulia) akizungumza na Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo mara walipokutana kwenye ofisi za Wizara ya Nishati na Madini. Lengo la kikao hicho lilikuwa ni kukuza ushirikiano baina ya Tanzania na Canada kwenye sekta ya gesi na mafuta.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...