Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akisitiza jambo kwenye kikao
hicho. Katika kikao hicho Balozi Alexandre Leveque ameahidi kutangaza fursa zilizopo
katika sekta ya gesi na mafuta kwa wawekezaji waliopo nje ya nchi.
Balozi wa Canada Nchini Mhe. Alexandre Leveque (kulia) akizungumza na Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo mara walipokutana kwenye ofisi za Wizara ya Nishati na Madini. Lengo la kikao hicho lilikuwa ni kukuza ushirikiano baina ya Tanzania na Canada kwenye sekta ya gesi na mafuta.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...