Urban Pulse Creative Media, Freddy Macha wakishirikiana na Ubalozi wa Tanzania Uingereza wanakuletea sehemu ya tatu ya "Wilfred Moshi na Mlima Everest" inayoendelea kuelezea kisa cha kusisimua na kutisha cha kijana aliyekuwa Mwafrika wa tatu na Mtanzania wa kwanza kupanda mlima mrefu kuliko yote duniani, mlima Everest.
Home
Unlabelled
Wilfred Moshi na Mlima Everest{ Sehemu ya Tatu}
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...