Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Smart Banking Solutions (SBS) Bw. Gustav Vermaas (kushoto) akipeana mkono na Mwakilishi Mkuu wa UnionPay International kanda ya Afrika na Mashariki na Kati, Li Zhixian, kama ishara ya maridhiano ya mkataba wa ushirikiano kati ya makampuni yao itakayowezesha kadi za B-PESA kukubalika katika vituo vyote vya UnionPay duniani kote.
Mwakilishi Mkuu wa UnionPay International kanda ya Afrika na Mashariki na Kati, Li Zhixian (kulia) akisaini mkataba wa ushirikiano na kampuni ya Smart Banking Solutions (SBS) kupitia Kadi yake ya B-PESA, ambayo itatoa fursa kwa huduma hii mpya ya malipo ya kabla ya kutumia kadi ya kielektroniki la daraja la juu inayotumia mfumo wa kibenki, kufanyika katika wigo mpana ndani na nje ya Tanzania. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya SBS Bw. Gustav Vermaas.
 Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Smart Banking Solutions (SBS) Bw. Gustav Vermaas akisaini mkataba wa ushirikiano na kampuni ya UnionPay International ya China, makubaliano hayo itatoa fursa kwa huduma mpya ya malipo ya kabla ya kutumia kadi ya B-PESA -ya kielektroniki la daraja la juu inayotumia mfumo wa kibenki- kufanyika katika wigo mpana ndani na nje ya Tanzania. Kulia ni Mwakilishi Mkuu wa UnionPay International kanda ya Afrika na Mashariki na Kati, Li Zhixian.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...