Mtu mmoja amekufa na wengine 27 kujeruhiwa baada ya basi la Hood Limited lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Arusha kupata ajali eneo la Melela Mvomero, Mkoani Morogoro.
Home
Unlabelled
BASI LA HOOD LAPATA AJALI MOROGORO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Sujuhi kama waliacha kwenda mwendo kasi; miaka ya nyuma ili gari lilikuwa linaongoza kwa mwendo kasi; nakumbuka lilikuwa gumzo enzi nasoma Mzumbe; utasikia unatoka Arusha saa fulani unafika Mbeya saa fulani mwendo mdundo...kama hawajaacha hiyo tabia basi rushwa itatuua; maana siamini kama mimi mtu ambaye sijawahi kulipanda nalijua afu traffic wawe hawajuhi hii sifa.
ReplyDeleteTatizo madeleva wanalewa posho za kuwah kufka
ReplyDelete