Natasha Muhidin akiwa katika kamnuso kake ka kusherehekea miaka mitano ya Hepi Besdei yake ya Kuzaliwa huko Upanga mtaa wa Mfaume jijini Dar es salaam. Baba yake anamtakia kila la kheri katika safari ndefu ya maisha, azingatie elimu na nidhamu kwa kila mtu, mkubwa na mdogo. 
I love you Natasha - says Dad
Natasha akiwa na wenzie wakati wa kamnuso kake

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...