KATIKA KIPINDI HIKI CHA MSIMU WA SIKUKUU YA KRISMAS NA MWAKA MPYA,DUKA LAKO PENDWA LENYE VIWALO VIKALI HAPA MJINI DAR ES SALAAM LIFAHAMIKALO KAMA J&M VIRGO,LIMESHUSHA MALI MPYA MAALUM KWA KIPINDI HIKI.

HIVYO FIKA DUKANI KWAO PALE MIKOCHENI KWA WARIOBA,JENGO LA C&G PLAZA GHOROFA YA KWANZA ILI UWEZE KUJIPATIA PAMBA KALI,MOKA ZA KISASA NA MICHUCHUMIO MIKALI KWA KINA DADA.

KWA TAARIFA ZAIDI TEMBELEA LIBENEKE LEO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...