KATIKA KIPINDI HIKI CHA MSIMU WA SIKUKUU YA KRISMAS NA MWAKA MPYA,DUKA LAKO PENDWA LENYE VIWALO VIKALI HAPA MJINI DAR ES SALAAM LIFAHAMIKALO KAMA J&M VIRGO,LIMESHUSHA MALI MPYA MAALUM KWA KIPINDI HIKI.
HIVYO FIKA DUKANI KWAO PALE MIKOCHENI KWA WARIOBA,JENGO LA C&G PLAZA GHOROFA YA KWANZA ILI UWEZE KUJIPATIA PAMBA KALI,MOKA ZA KISASA NA MICHUCHUMIO MIKALI KWA KINA DADA.
KWA TAARIFA ZAIDI TEMBELEA LIBENEKE LEO
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...