Kikundi mahiri cha KAPOTIVE Star Singers- Bukoba kitafanya uzinduzi wa album yake nzuri sana yaZAWADI YA KRISSMAS,  siku ya Jumapili tar. 22/12/2013 kuanzia saa 8:00 mchana mpaka saa 2:00 usiku katika ukumbi wa LINA'S CLUB uliopo mjini BUKOBA. 
Kiingilio katika uzinduzi huo kitakuwa kwa mtu mmoja (Single Ticket ni Tsh 10,000/= (Family Size) Familia ya watu 6 itakuwa ni Tsh 50,000/= wakati watoto itakuwa ni Ts 5,000/= Karibuni sana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Familia ya watu sita utaipata wapi kwa sasa. Kwa sasa familia nyingi ni za watu wanne; baba , mama na watoto wawili. Au Bukoba bado mwapigana katerero na kuzaa sana???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...