Kaimu Mkuu wa masoko ya rejareja wa KCB Bank, Juma Abdul akizungumzia huduma za benki hiyo kwenye semina ya siku moja ya ujasiriamali iliyoandaliwa na benki ya KCB tawi la Zanzibar kwenye hoteli ya Grand Palace mjini Zanzibar
Meneja wa Tawi, KCB bank Zanzibar, Cosmas Mwankemwa akizungumza na washiriki wa wa semina ya ujasiriamali iliyoandaliwa na benki hiyo kwenye hoteli ya Grand Palace mjini Zanzibar.


.jpg)
.jpg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...