Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Imechangamka sana na mmekutana haswa leo! Ilikuwa nzuri kwa kuwa ni birthday ya mwenzenu! Ila mlitaka kuchemsha issue za mheshimiwa,umri wa dada heri mliachana na hiyo topic. Mihuri salamander oyeeeeeeee Yasini! Ofisi hewa barabarani.

    ReplyDelete

  2. HAhahahhahaaaaa duh hiki sasa ndio kijiwe cha ukweli maana kijiweni sio kila siku unaongea point siku zingine unaongea mchapo na mikasa katika life big up waanzilishi Jongo, Yasin na Benja.

    Pamoja nsana

    Mdau Sweden

    ReplyDelete
  3. Yasini mwambie benja ulikuwa fundi umeme mzuri sana Enzi ya Bahama mama Kimara.

    ReplyDelete
  4. Yasini hakuwa fundi umeme alikuwa kijiweni salamander ila alikuwa mtu wa kujirusha hiyo mitaa ya bahama mama

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...