Katibu wa CCM,Ndugu Kinana na Ujumbe wake wakipokelewa jijini Dar na Wanachama wa CCM,wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM,Mkoa wa Dar-Es-Salaam,Ramadhan Madabida.
Ndugu Kinana akisalimiana na Wanachama wa CCM,mara baada ya kushuka kwenye treni ya TAZARA mapema leo asubuhi akitokea na Makambako.
Ndugu Kinan akiagana na baadhi wanachama wa CCM,waliofika kumsabahi katika kituo cha Mlimba,wakati treni hiyo ilipokuwa imesimama kwa ajili ya kupakia na kushusha abiria ,Kinana aliongozana na Wajumbe wake,katibu wa NEC,Siasa na Mahusiano ya Kimataifa,Dkt Asha-Rose Migiro pamoja na Katibu wa NEC,Itikadi n Uenezi,Nape Nnauye wakitokea Ziarani Mkoani Njombe,baada ya kuikamilisha ziara yao ndefu ya Mbeya na Ruvuma katika mikakati ya kukiimarisha chama chao.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana Dkt.Asha-Rose Migiro Nape Nnauye wakishuka kwenye treni mara baada ya kusimama kwa muda katika kituo cha Mlimba,mkoani Morogoro kwa ajili kuzungumza na baadhi ya Wananchi.

Treni ya TAZARA ikishusha na kupakia abiria kituo cha Mlimba,Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...