Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni, na Michezo Bwana Leornad Thadeo akizungumza na Wanahabari (Hawapo Pichani) kuhusu Kongamano la Wanawake Viongozi wa Michezo wa Afrika litakalofanyika 16-17/2013 jijini Dar es Salaam wa kwanza kulia ni Meneja wa kinywaji cha Grand Malt Bi Consolata Adam. Picha na Benjamin Sawe wa WHVUM.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...